Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

28 Aprili 2022

28 Aprili 2022

Pakua

Jaridani Alhamisi Aprili 28, 2022 na Leah Mushi

-Wasichana wanachohitaji ili kukumbatia ICT ni fursa na usalama mtandaoni: ITU 

-UNMISS kubadili mbinu za utoaji wa misaada ya kibinadamu Malakal

-UNICEF DRC yawezesha wanafunzi kujivunia shule yao

-Makala ni wito kwa serikali ya Tanzania kuuboresha mfumo wa ajira serikalini ili sera ya kuwajumuisha watu wenye ulemavu iweze kutekelezwa na watu kama yeye waweze kupata nafasi za ajira.

Mashinani ni ujumbe mahususi kutoka kwa Katibu Mkuu wa ITU.

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
13'11"