Skip to main content

Chuja:

utumwa

Mnyororo wa pingu uliotumika kufungia watumwa ukiwa sehemu ya maonesho kuhusu biashara ya utumwa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa (kutoka Maktaba)
UN Photo/Mark Garten

Mahojiano: Fidia kwa utumwa, 'muhimu' - Nikole Hannah-Jones wa The 1619 Project.

Mwandishi wa New York Times Nikole Hannah-Jones, anayejulikana zaidi kwa kitabu chake cha ‘The 1919 Project’ au ‘Mradi wa mwaka 1619’, ambacho kinaweka utumwa kama moja ya vipengele vya msingi vya historia ya Marekani, Jumanne wiki hii amehutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya biashara ya utumwa. Na baadaye akapata wasaa wa kukaa kitako na UN News kueleza kuhusu alivyofikia kuandika kitabu hicho.  

Mwanamume akiwa na bango linalosema 'bado utumwa upo' akiwa Marekani.
© Unsplash/Hermes Rivera

Tujifunze kwa yaliyopita, tushikamane kutokomeza ubaguzi wa rangi:Guterres 

 Hii leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kumbukizi ya waathirika na manusura wa biashara ya utumwa katika bahari ya Atlantiki Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema “kuna mengi tunayofahamu kuhusu biashara hiyo na leo ni siku ya kukumbuka uhalifu dhidi ya binadamu, usafirishaji na biashara haramu ya binadamu pamoja na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu usioweza hata kuzungumzika.”  

25 MACHI 2022

Jaridani Machi 25, 2022 na Flora Nducha 

Tunaanza na habari kwa ufupi kisha mada kwa kina ambapo leo tutaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kukutana na mpiganaji wa zamani wa msitu ambaye sasa ameajiriwa na Umoja wa Mataifa. Na ikiwa IJumaa tutajifunza kiswahili

Sauti
15'24"