Historia ya utumwa bado ina makovu kwa jamii yanayodumaza maendeleo: Guterres
Historia au urithi ulioachwa na biashara ya utumwa katika bahari ya Atlantiki unaendelea hadi leo, kama vile utumwa wa kisasa unavyoongezeka, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres.