Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

20 Desemba 2021

20 Desemba 2021

Pakua

Hii leo jaridani Flora Nducha anakuunganisha na Jason Nyakundi mwandishi wa habari wa Umoja wa Mataifa nchini Kenya ambaye amezungumza na mwanamke aliyevunja mwiko wa uchaguzi wa kazi na kuamua kujitosa katika sekta ya ujenzi. Mashinani mashinani leo tunabisha hodi kwa Rais wa Baraza la haki za binadamu mjini Geneva Uswisi, na bila kusahau leo kwa kuwa ni mada kwa kina tunakuwa na habari kwa ufupi ikimulika ziara ya Katibu Mkuu wa Umoja wa MAtaifa huko Lebanon, sambamba na vikao vya Baraza la Usalama vikiangazia hali ya usalama nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
10'30"