Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Walinda amani wa Umoja wa Mataifa

Walinda amani wa UNIFIL katika gwaride la ushirikiano na jamii huko souk ya Tiro, kusini mwa Lebanon.
UNIFIL/Pasqual Gorriz

Mlinda amani wa UN auawa nchini Lebanon

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesikitishwa sana na kifo cha askari wa kikosi cha kulinda amani cha Ireland kutoka mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Lebanon UNIFIL aliyeuawa katika tukio lililotokea hapo jana tarehe 14 Disemba katika eneo la Al-Aqbieh, nje ya eneo la operesheni la UNIFIL. huko Lebanon Kusini.

Agosti 26 2021

Katika jarida hii leo Grace Kaneiya anakuletea taarifa kutoka Afghanistan ambapo WFP inaeleza kukabiliwa na uhaba wa chakula. 

Pia utasikia UNMISS wanavyoenesha doria Sudan Kusini, na mkimbizi wa Ethiopia aliyepata fursa ya kwenda masomoni nchini Italia. 

Sauti
12'33"