28 Julai 2021
Pakua
Jaridani Jumatano 28, 2021
Hii leo huko nchini Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan amezindua kazi ya utoaji wa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona au COVID-19.
Uwekezaji wa kupambana na ugonjwa wa homa ya ini wazaa matunda.
Mkataba wa wakimbizi watimiza miaka 70 leo.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
13'41"