Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

28 Julai 2021

28 Julai 2021

Pakua

Jaridani Jumatano 28, 2021 

Hii leo huko nchini Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan amezindua kazi ya utoaji wa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona au COVID-19.

Uwekezaji wa kupambana na ugonjwa wa homa ya ini wazaa matunda.

Mkataba wa wakimbizi watimiza miaka 70 leo.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
13'41"