Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

26 Julai 2021

26 Julai 2021

Pakua

Jaridani Julai 26, 2021 na Assumpta Massoi

Jaridani ni habari kwa ufupi na makala ya kina ikiangazia homa ya ini kuelekea siku ya homa ya ini ambayo huadhimishwa kila mwaka Julai 28. Na katika mashinani tutakuwa nchini Tanzania.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
11'34"