Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

19 Mei 2021

19 Mei 2021

Pakua

Biashara ya bidhaa yapiga jeki uchumi wa dunia wakati wa COVID-19, imesema ripoti mpya iliyotolewa na kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo, UNCTAD.

UNICEF Burundi yatoa mafunzo ya Ujuzi kwa Wasichana.

Na wakazi wakulima wa Keknaf, Bangladesh wanasema hata kabla ya kuja wakimbizi wa Rohingya, tayari wao walikuwa hoi, UNHCR imewasaidia. 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'4"