Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

17 Februari 2021

17 Februari 2021

Pakua

Hii leo jaridani Flora Nducha anaanzia nchini India ambako mwalimu mmoja wa kiume ameshinda tuzo ya Mwalimu Bora Duniani kwa mwaka 2021 kwa mchango wake katika kutumia uwezo wake kuboresha elimu bila kujali kipato chake. Kisha anamulika utoaji chanjo dhidi ya Ebola huko Butembo jimboni Kivu Kaskazini nchini DRC kutokana na mlipuko wa Ebola. Habati ya tatu inatoka huko Sudan Kusini jimboni Jonglei ambako kuna hofu ya baa la njaa. Makala anabisha hodi nchini Tanzania kwa wakulima wa kilimo cha mjini jijini Dar es salaam. Usisahau na mashinani kunani? Basi ungana naye.

Audio Credit
Flora Nducha
Sauti
12'10"