Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF na wadau nchini Malawi mstari wa mbele kuhakikisha watoto wenye ulemavu wanapata elimu juu ya COVID-19

UNICEF na wadau nchini Malawi mstari wa mbele kuhakikisha watoto wenye ulemavu wanapata elimu juu ya COVID-19

Pakua

Janga la ugonjwa wa Corona, COVID-19 likiendelea kushika kasi katika baadhi ya nchi, Umoja wa Mataifa nao kupitia shirika lake la kuhudumia watoto UNICEF nchini Malawi pamoja na wadau, wamechukua hatua kuhakikisha kuwa watoto wenye ulemavu hawaachwi nyuma katika kupata elimu ya kujikinga dhidi ya ugonjwa huo.

Audio Credit
Flora Nducha- Anold Kayanda
Audio Duration
2'12"
Photo Credit
UN Photo/Rick Bajornas)