Majanga makuu matatu ikiwemo njaa yanashuhudiwa nchini Afghanistan
Pakua
Nchi ya Afghanistan inakabiliwa na changamoto kubwa ya kutokuwa na uhakika wa chakula huku viwango vya utapiamlo vikifurutu ada kutokana na tishio litokanalo na majanga matatu makubwa ambayo ni vita, corona au COVID-19 na mabadiliko ya tabianchi kwa mujibu wa shirika la umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP.
Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
3'1"