Kijana Richard anatumia ulemavu wake kuelimisa jamii kuhusu umuhimu wa chanjo dhidi ya polio
Pakua
Kutana na Richard Elaka mkazi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambaye ni manusura wa ugonjwa wa polio. Yeye anatumia hali yake ulemavu kutokana na Polio kuelimisha jamii umuhimu wa kupatia watoto wao chanjo dhidi ya ugonjwa huo usio na tiba lakini una kinga.
Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
1'49"