Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Janga la COVID-19 linajaribu hatua zilizopigwa katika maendeleo

Janga la COVID-19 linajaribu hatua zilizopigwa katika maendeleo

Pakua

Janga la corona au COVID-19 linabadili hatua zilizopigwa katika maendeleo na kuujaribu msingi wa amani ya kimataifa, lakini pia linatoa fiursa ya kushirikiana kuzisaidia serikali na jamii kujijenga vyema upya  umesema mkutano wa kimataifa ulioanza leo kwa njia ya mtandao mjini Roma Italia ukiwaleta pamoja wawakilishi wa Umoja wa Mataifa, taasisi za fedha za kimataifa, Muungano wa Afrika naserikali za Muungano wa Ulaya.

Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'34"
Photo Credit
© UNDP Mauritania/Freya Morales