Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kando na madhila yatokanayo na COVID-19 kwa upande mwingine imetoa fursa ya ubunifu

Kando na madhila yatokanayo na COVID-19 kwa upande mwingine imetoa fursa ya ubunifu

Pakua

Utafiti mpya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa WHO uliotangazwa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Congo, Brazzaville, umesema janga la COVID-19 limeongeza nguvu kwenye maendeleo ya ubunifu zaidi ya 120 wa teknolojia ya afya ambao umejaribiwa au kupitishwa barani Afrika.

Audio Credit
Anold Kayanda/ John Kibego
Audio Duration
2'51"
Photo Credit
UNCDF