Uwasilishaji wa chanjo kwa watoto unakabiliwa na vikwazo Libya 5 Novemba 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Mashirika ya Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto duniani UNICEF na afya WHO leo yamesema yanatiwa hofu kutokana na upungufu mkubwa wa chanjo muhimu nchini Libya ambao unatishia afya ya maelfu ya watoto wa taifa hilo. Audio Credit Flora Nducha- Grace Kaneiya Audio Duration 1'56" Photo Credit © UNICEF Patrick Brown libya chanjo