COVID-19 imetupatia fursa ya kufahamu mengi-barubaru Iran 28 Oktoba 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Kutana na mapacha wawili barubaru kutoka nchini Iran, wanasema janga la corona au COVID-19 limewafunza mengi, kuanzia kusomea nyumbani, kukabiliana na upweke na msongo wa mawazo na hata kupika na majukumu mengine ya nyumbani. Audio Credit Flora Nducha- Jason Nyakundi Audio Duration 2'19" Photo Credit UN Photo/Milton Grant COVID-19 Iran