Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

COVID-19 imetupatia fursa ya kufahamu mengi-barubaru Iran

COVID-19 imetupatia fursa ya kufahamu mengi-barubaru Iran

Pakua

Kutana na mapacha wawili barubaru kutoka nchini Iran, wanasema janga la corona au COVID-19 limewafunza mengi, kuanzia kusomea nyumbani, kukabiliana na upweke na msongo wa mawazo na hata kupika na  majukumu mengine ya nyumbani. 

Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
2'19"
Photo Credit
UN Photo/Milton Grant