Sanaa yatumika kupambana na ndoa za utotoni
Pakua
Filamu mpya iliyopewa jina, “Zuia ndoa za utotoni Sudan Kusini” imeoneshwa kwa mara ya kwanza kwa wanajamii katika eneo la Yambio jimboni Equatoria Magharibi ikiwa na lengo la kupambana na unyanyasaji wa kingono unaohusiana na migogoro pamoja na ubakaji ambavyo ni matukio ya kawaida katika nchi hiyo changa zaidi ulimwenguni.
Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
3'7"