Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF na Canada washirikiana kuhakikisha upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa hospitalini

UNICEF na Canada washirikiana kuhakikisha upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa hospitalini

Pakua

Nchini Haiti, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa ufadhili kutoka Canada, wanaanzisha mradi wa kusogeza karibu na makazi ya wananchi huduma za usajili wa watoto ili wapatiwe vyeti vya kuzaliwa katika taifa hilo ambalo mtoto mmoja katiya 6  hana cheti cha kuzaliwa
 

Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Sauti
2'47"
Photo Credit
© UNICEF/Medhid Meddeb