16 Septemba 2020 16 Septemba 2020 Jarida la Habari Pakua COVID-19 ni zaidi ya janga la kiafya ni mzahma ya kibinadamu. Mshauri nasaha Afrika Kusini alalama COVID-19 kukwamisha kazi yake. Vita iliniondoa chuo kikuu kwetu Yemen, watu wa Jordan wamenipa fursa nyingine-Mkimbizi. Audio Credit Flora Nducha Audio Duration 12'48" Coronavirus COVID-19