Nchini Kenya vijana 300 wapatiwa mafunzo kuepusha baa la nzige
Pakua
Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO, nchini Kenya, limeanza kuwafundisha vijana 300 wa jeshi la huduma la vijana nchini humo, NYS mbinu za kukabiliana na nzige wa jangwani walioripotiwa kuvamia taifa hilo la Afrika Mashariki tangu mwezi Disemba mwaka jana.
Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Sauti
1'50"