Antonio Guterres asema sayansi ni somo shirikishi, hebu tuwashirikishe wanawake na wasichana
Pakua
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ingawa sayansi ni somo shirikishi lakini bado sayansi hiyo inabakizwa nyuma na pengo la kijinsia
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
1'26"