Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanafunzi wenye ualbino tuna mahitaji mengi ili kuboresha taaluma yetu

Wanafunzi wenye ualbino tuna mahitaji mengi ili kuboresha taaluma yetu

Pakua

Kama ilivyo nia ya jumla ya Malengo endelevu ya Umoja wa Mataifa yaani SDGs kuwa asiwepo hata mmoja atakayeachwa nyuma katika kufikia maisha bora duniani, wanafunzi wenye ualbino katika shule ya msingi Mazinyungu iliyopo wilayani Kilosa mkoani Morogoro Tanzania, wameiomba serikali na wadau mbalimbali kuwasaidia mahitaji muhimu kama vile mafuta ya kupaka, nguo za kufunika sehemu kubwa ya mwili wao, Kofia na miwani ili kuongeza ufaulu mzuri hasa kwa wenye uoni hafifu.

Audio Credit
UN News
Audio Duration
3'22"
Photo Credit
UNICEF/Frank Dejongh