Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF yasema vifo milioni 9 kutokana na homa ya kichomi vinaweza kuzuilika kwa kuimarisha juhudi

UNICEF yasema vifo milioni 9 kutokana na homa ya kichomi vinaweza kuzuilika kwa kuimarisha juhudi

Pakua

Vifo milioni 9 vinaweza kuzuilika kwa kuimarisha juhudi za kukabiliana na homa ya kichomi miongoni mwa watoto, na magonjwa mengine kwa mujibu wa  ripoti ya utafiti iliotolewa leo wakati wa kuanza kwa kongamano la kwanza kuhusu homa ya kichomi miongoni mwa watoto mjini Barcelona nchini Uhispania.

Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
3'5"
Photo Credit
UNICEF/Siegfried Modola