UNICEF yasema vifo milioni 9 kutokana na homa ya kichomi vinaweza kuzuilika kwa kuimarisha juhudi
Pakua
Vifo milioni 9 vinaweza kuzuilika kwa kuimarisha juhudi za kukabiliana na homa ya kichomi miongoni mwa watoto, na magonjwa mengine kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliotolewa leo wakati wa kuanza kwa kongamano la kwanza kuhusu homa ya kichomi miongoni mwa watoto mjini Barcelona nchini Uhispania.
Audio Credit
UN News/Grace Kaneiya
Audio Duration
3'5"