Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Majeshi ya upinzani na yale ya serikali nchini Sudani Kusini yaanza kujumuika pamoja.

Majeshi ya upinzani na yale ya serikali nchini Sudani Kusini yaanza kujumuika pamoja.

Pakua

Hatimaye mpango wa kujumuisha vikosi vya upinzani kwenye jeshi la Sudan Kusini umeanza kutekelezwa ikiwa ni katika kutekeleza makubaliano mapya ya amani yaliyotiwa saini mwezi Septemba mwaka 2018.

Audio Credit
UN News/Brenda Mbaitsa
Audio Duration
2'19"
Photo Credit
UN/ Denis Louro