Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Myanmar yaamriwa kuwalinda Warohingya dhidi ya mauaji ya kimbari

Myanmar yaamriwa kuwalinda Warohingya dhidi ya mauaji ya kimbari

Pakua

Serikali ya Myanmar leo imeamriwa na mahakama ya haki ya Umoja wa Mataifa ICJ, kuzuia machafuko yanayoweza kusababisha mauaji ya kimbari kwa watu wa kabila la Rohingya ambao ni Waislam wachache na kulinda ushahidi wowote wa uhalifu wa siku za nyuma dhidi ya watu hao.

Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Sauti
1'49"
Photo Credit
ICJ/Frank van Beek