Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Holocaust

Ua la waridi lililowekwa kwenye njia ya reli katika Makumbusho ya Auschwitz-Birkenau, nchini Poland.
Unsplash/Albert Laurence

Ni jukumu la kila mtu kuzungumza na kuendeleza kumbukumbu ya Holocaust: Katibu Mkuu wa UN

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres Jumamosi ya leo akishiriki katika sinagogi ya Park East jijini New York Marekani katika maadhimisho ya kusherehekea ukombozi wa kambi ya mateso ya Auschwitz; amesema ni jukumu la kila mmoja kuenzi kumbukumbu za waliofariki katika mauaji ya maangamizi makubwa au Holocaust dhidi ya wayahudi.

27 JANUARI 2023

Hii leo jaridani tuakuletea ujumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kuhusu makumbusho ya Holocaust, pia tunamulika kazi ya walinda amani nchini DR Congo. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani tunasalia hapa makao makuu wa Umoja wa Mataifa.

Sauti
11'19"
Wayahudi kutoka Subcarpathian Rus wanakabiliwa na mchakato wa uteuzi kwenye ramp huko Auschwitz-Birkenau, Poland.
US Holocaust Memorial Museum/Yad Vashem

Mauaji ya maangamizi makubwa yalikuwa kilele cha miongo ya chuki dhidi ya wayahudi: Guterres

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kumbukizi ya waathitrika wa mauaji ya maangamizi makubwa au Holocaust Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António  Guterres amesema mauaji hayo yalikuwa ni malimbikizo ya miongo ya chuki dhidi ya wayahudi ndio maana sasa ni wakati wa kuhakikisha chuki za aina yoyote ile zinakomeshwa duniani.

Sauti
2'23"

27 Januari 2020

Jaridani leo Januari 27, 2020 na Flora Nducha:

-Wakati dunia ikiadhimishamauaji ya maangamizi makuu au Holocaust Katibu Mkuu amesema, "Tunapowakumbuka waathirika wa Holocaust tuhakikishe uhalifu huo haturejei."

-Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema Lazima kuwe na uwajibikaji wa vifo vya mashambulizi ya anga Libya-UN

-Miji yenye mfumo bora wa elimu, ni mfano wa kuigwa-UNESCO 

Na katika makala ni kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye tiba ya asili

Na mashinani tunaelekea nchini Madagascar.

 

Sauti
14'14"