10 NOVEMBA 2023
Ungana na Leah Mushi kusikia haya jaridani hii leo:
Hofu ya uhalifu wa vita ikitanda UN yataka jinamizi linaloghubika Gaza liishe.
UNMISS yawajengea wanajeshi wa Sudan Kusini uwezo kulinda haki za watoto.
UNCDF na EU katika harakati za kuwakwamua wananchi Gambia dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.
Na mashinani msichana ambaye ni mkimbizi wa ndani nchini Sudan.