Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwaka 2017-2019

Mwaka 2017-2019

Pakua

Mwaka 2017 ulianza kwa Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kuanza rasmi hatamu yake ya uongozi na kuahidi kuleta mabadiliko katika usawa wa kijinsia na kuzuia mizozo katika dunia yenye migawanyiko.

Audio Credit
UNNews/Jason Nyakundi
Sauti
2'47"
Photo Credit
UN Photo.