Balozi Mahiga wa Tanzania asema tamko la haki za binadamu lizingatie tamaduni na maadili ya taifa.
Pakua
Wakati Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania ikiwa imepata uongozi mpya kufuatia uteuzi uliofanywa na Rais wa Taifa hilo la Afrika Mashariki, John Magufuli, Waziri wa Katiba na Mambo ya Sheria Dkt. Augustine Mahiga amezungumzia majukumu ya tume hiyo wakati huu ambapo tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa limetimiza miaka 71 tangu kupitishwa.
Audio Credit
UN Dar Es Salaam/Stella Vuzo
Audio Duration
2'31"