Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Balozi Mahiga wa Tanzania asema tamko la haki za binadamu lizingatie tamaduni na maadili ya taifa.

Balozi Mahiga wa Tanzania asema tamko la haki za binadamu lizingatie tamaduni na maadili ya taifa.

Pakua

Wakati Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania ikiwa imepata uongozi mpya kufuatia uteuzi uliofanywa na Rais wa Taifa hilo la Afrika Mashariki, John Magufuli, Waziri wa Katiba na Mambo ya Sheria Dkt. Augustine Mahiga amezungumzia majukumu ya tume hiyo wakati  huu ambapo tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa limetimiza miaka 71 tangu  kupitishwa.

Audio Credit
UN Dar Es Salaam/Stella Vuzo
Audio Duration
2'31"
Photo Credit
UN /Aliza Eliazarov