Tafadhali jamii ya kimataifa igeukieni Sudan, atoa wito Mark Lowcock 26 Novemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura, OCHA, Mark Lowcock amehitimisha ziara yake nchini Sudan akitaka jamii ya kimataifa iongeze kasi ya kupeleka misaada ya kibinadamu nchini humo. Audio Credit John Kibego Audio Duration 1'49" Photo Credit OCHA Ocha Sudan Mark Lowcock