Winnie Byanyima mwanamke kutoka Uganda apeperusha bendera ya UNAIDS 1 Novemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Winnie Byanyima kutoka nchini Uganda leo ameanza kazi rasmi ya Mkurugenzi Mtendaji mpya wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya ukimwi UNAIDS. Brenda Mbaitsa na taarifa kamili. Audio Credit UN News/Brenda Mbaitsa Audio Duration 2'1" Photo Credit UN Photo/Amanda Voisard unaids UNDP Winnie Byanyima Oxfarm #VVU #ukimwi