Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tuligundua kwa kukuza uchumi wa mwanamke, tutakuza uchumi wa jamii nzima-Paul Siniga

Tuligundua kwa kukuza uchumi wa mwanamke, tutakuza uchumi wa jamii nzima-Paul Siniga

Pakua

Asasi ya African Reflections Foundation inayojishughulisha na utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu, SDGs nchini Tanzania, kwa miaka mingi imejikita katika kuleta usawa wa kijinsia nchini humo kwa njia ya kukuza ushiriki wa shughuli za uchumi kwa wanawake. Asasi hiyo inatekeleza mradi wa kuwasaidia wanawake katika shughuli za kilimo kuanzia hatua ya mwanzo hadi hatua ya masoko. Paul Siniga, Mtendaji Mkuu wa asasi hiyo akihojiwa na Idhaa ya Kiswahilli ya Umoja wa Mataifa anafafanua namna wanavyotekeleza miradi hiyo.

 

Soundcloud
Audio Credit
Brenda Mbaitsa/Arnold Kayanda/Paul Siniga
Audio Duration
3'15"
Photo Credit
Photo: FAO