Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Asante Zambia kwa kukirimu wakimbizi -Fillipo Grandi

Asante Zambia kwa kukirimu wakimbizi -Fillipo Grandi

Pakua

Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR Fillipo Grandi ameshukuru Zambia kwa ukarimu wake na kufungua milango kwa ajili ya wakimbizi huku akitoa wito kwa usaidizi zaidi kwa wenyeji wanaohifadhi wakimbizi. 

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
1'52"
Photo Credit
UN News