Asante Zambia kwa kukirimu wakimbizi -Fillipo Grandi 21 Oktoba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR Fillipo Grandi ameshukuru Zambia kwa ukarimu wake na kufungua milango kwa ajili ya wakimbizi huku akitoa wito kwa usaidizi zaidi kwa wenyeji wanaohifadhi wakimbizi. Audio Credit Assumpta Massoi Audio Duration 1'52" Photo Credit UN News zambia Fillipo Grandi UNHCR