Hofu yatanda kufuatia mashambulizi mapya Syria:UN
Pakua
Nchini Syria mashambulio mapya yaliyofanywa kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo yameibua kauli za kulaani, zikisema kuwa wasyria wamechoka na hawahitaji mashambulio zaidi wakati huu ambao bado wako kwenye majanga.
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'41"