Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Dunia imeghubikwa na zahma, hofu imekuwa ada:Guterres

Dunia imeghubikwa na zahma, hofu imekuwa ada:Guterres

Pakua

Mjadala mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA74 umeanza leo kwenye makao makuu ya umoja huo jijini New York, Marekani ambapo Katibu Mkuu Antonio Guterres amesema kuwa hofu imetanda duniani hivi sasa na ni jukumu la viongozi kuondoa hofu hiyo miongoni mwa wananchi wao.

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
2'10"
Photo Credit
UN Photo/Cia Pak