Dunia yaadhimisha siku ya kulinda wagonjwa kutokana na madhara wakati wa matibabu 17 Septemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu madhara ya kiafya wanayopata wagonjwa wakiwa wanapata matibabu kwenye vituo vya afya, shirika la afya ulimwenguni , WHO linataka hatua zaidi zichukuliwe kulinda wagonjwa. Audio Credit Assumpta Massoi/Jason nyakundi Audio Duration 1'26" Photo Credit OCHA/Matteo Minasi WHO afya