Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Dunia yaadhimisha siku ya kulinda wagonjwa kutokana na madhara wakati wa matibabu

Dunia yaadhimisha siku ya kulinda wagonjwa kutokana na madhara wakati wa matibabu

Pakua

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu madhara ya kiafya wanayopata wagonjwa wakiwa wanapata matibabu kwenye vituo vya afya, shirika la afya ulimwenguni , WHO linataka hatua zaidi zichukuliwe kulinda wagonjwa. 

Audio Credit
Assumpta Massoi/Jason nyakundi
Audio Duration
1'26"
Photo Credit
OCHA/Matteo Minasi