Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ninaitekeleza ndoto yangu ya kufanya kazi na Umoja wa Mataifa kwa kuwafundisha watoto kuhusu Umoja huo

Ninaitekeleza ndoto yangu ya kufanya kazi na Umoja wa Mataifa kwa kuwafundisha watoto kuhusu Umoja huo

Pakua

Mwalimu Joseph Gichana akiwa kijana alikuwa na ndoto ya kufanya kazi na Umoja wa Mataifa. Ingawa ndoto hiyo bado haijatimia, hivi sasa jwa kipindi hiki akifundisha masomo ya uchumi nchini China ameamua kuwaelimisha wanafunzi wake kuhusu malengo 17 ya maendeleo endelevu, SDGs kama mchango wake wa kufanikisha ndoto yake na kusaidia kazi za Umoja wa Mataifa. Je anafanikiwa? Katika mahojiano yake na Flora Nducha mjini New York Marekani, Mwalimu huyo mzaliwa wa Kenya anaeleza kinaga ubaga.

Audio Credit
Brenda Laura/ Joseph Gichana
Audio Duration
3'33"
Photo Credit
UN SDGs