Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

China

Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet mkutanoni kwa njia ya mtandao na rais wa China Xi Jinping ziarani Guangzhou, China.
© OHCHR

Bachelet afanya mikutano ya muhimu na Rais Xi wa China 

Katika siku ya tatu ya ziara yake rasmi nchini China, kamishina mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet amelezea kuwa ni fursa muhimu ya kuangazia masuala ya haki za binadamu na shuku na shaka katika mazungumzo yake na Rais Xi Jinping na maafisa wengine wakuu wa serikali , ikiwa ni ziara ya kwanza ya aina hiyo kufanywa na mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa tangu mwaka 2005. 

Chanjo
Janssen

Heko China kwa kuchangia dozi milioni 500 za COVID-19: UN 

China imetangaza kuwa inazalisha chanjo zaidi ya milioni 500 za Corona au COVID-19 kupitia kampuni mbili nchini humo, chanjo ambazo zitasambazwa kwa nchi maskini kupitia mfumo wa Umoja wa Mataifa, hatua ambayo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameipongeza kwa kuzingatia kuwa ni idadi ndogo tu ya watu katika nchi maskini ndio wamepatiwa chanjo ikiliinganishwa na zile za kipato cha juu.

Sauti
2'10"