Watu wawili kati ya watu watatu nchini CAR wanahitaji msaada wa kibinadamu
Pakua
Watu wawili kati ya watu watatu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR wanahitaji msaada wa kibinadamu na hivyo kufanya janga hilo la kibinadamu kuwa la tatu kwa kubwa zaidi duniani baada ya Yemen na Syria, limesema shirika la mpango duniani la Umoja wa Mataifa, WFP
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
1'43"