Taasisi ya Benjamin Mkapa yasaidia kuimarisha huduma za afya vijijini kwa kuwandaa wahudumu wa afya
Pakua
Miongoni mwa taasisi hizo ni ile ya Benjamin Mkapa nchini Tanzania ambayo kwa kushirikiana na serikali ina miradi mbali mbali ya kuhakikisha wakazi wa vijini wanapata huduma ya afya na watoa huduma nao wanavutiwa kufanya kazi maeneo hayo kama anavyofafanua Dkt Ellen Mkondya Senkoro, Afisa Mtendaji Mkuu kwenye taasisi hiyo alipohojiwa mapema mwaka huu na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Dkt. Ellen Mkondya Senkoro
Audio Duration
2'39"