Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Usalama barabarani ni muhimu kwa ajili ya maendeleo endelevu

Usalama barabarani ni muhimu kwa ajili ya maendeleo endelevu

Pakua

Ni Jarida la Ijumaa likiwa na mada kwa kina leo tunaangazia usalama wa barabarani katika kutamatisha wiki ya usalama wa barabarani.

Kwa mujibu wa shirika la afya ulimwenguni WHO licha ya hatua kubwa zilizopigwa vifo vitokanavyo na ajali za barabarani vinaendelea kuongezeka na sasa kufikia vifo milioni 1.35 kwa mwaka, huku majeraha ya ajali hizo ndio chanzo kikuu cha vifo vya watoto na vijana wa umri wa miaka 5-29.

Mathalani kijana huyu anayezungumza hapa na John Kibego huko nchini Uganda, hawezi kujipatia tena kipato kutokana na kazi yake ya ufundi mchundo anaanza kwa kueleza ajali ilivyotokea…

Audio Credit
Arnold Kayanda
Sauti
5'27"
Photo Credit
UNMISS