Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake Sudan Kusini washukuru kuwepo kwa vituo salama vilivyoanzishwa na UN

Wanawake Sudan Kusini washukuru kuwepo kwa vituo salama vilivyoanzishwa na UN

Pakua

Vituo salama vilivyoanzishwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuepusha wanawake na wasichana dhidi ya ukatili wa kijinsia nchini Sudan Kusini vimekuwa muarobaini na mwokozi kwa makundi hayo.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
2'12"
Photo Credit
UNICEF/Rich