Wanawake Sudan Kusini washukuru kuwepo kwa vituo salama vilivyoanzishwa na UN
Pakua
Vituo salama vilivyoanzishwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuepusha wanawake na wasichana dhidi ya ukatili wa kijinsia nchini Sudan Kusini vimekuwa muarobaini na mwokozi kwa makundi hayo.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
2'12"