Mafuriko katika makazi ya wakimbizi Lebanon ni tabu juu ya tabu 9 Januari 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi UNHCR linatoa msaada wa dharura kwa wakimbizi wa Syria walioko nchini Lebanon baada ya mvua kubwa kunyesha katika nchi hiyo. Audio Credit Grace Kaneiya/ Arnold Kayanda Audio Duration 2'3" Photo Credit UNICEF/Romenzi UNHCR Syria lebanon HIBA FARES