Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mafuriko katika makazi ya wakimbizi Lebanon ni tabu juu ya tabu

Mafuriko katika makazi ya wakimbizi Lebanon ni tabu juu ya tabu

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi UNHCR linatoa msaada wa dharura kwa wakimbizi wa Syria walioko nchini Lebanon baada ya mvua kubwa kunyesha katika nchi hiyo.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Arnold Kayanda
Audio Duration
2'3"
Photo Credit
UNICEF/Romenzi