Utamaduni hutumiwa kama kisingizio kubinya haki kadhaa
Pakua
Mila na desturi za kitamaduni zina mchango mkubwa katika jamii endapo zitaenziwa kwa kuheshimu haki zingine za binadamu. Hata hivyo wakati mwingine jamii hutumia haki za kitamaduni kama kisingizio cha kukandamiza wengine au kubinya haki zingine za binadamu katika jamii.
Audio Credit
John Kibego
Audio Duration
1'21"