Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

23 Novemba 2018

23 Novemba 2018

Pakua

Leo hii katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa Assumpta Massoi anakuletea

-Baraza la Biashara Afrika Mashariki lataka itifaki ya Kigali idhizie kote Afrika

-Ukata katika shirika la msaada kwa wakimbizi wa Kipastina , UNRWA watishia mustakabali wa watoto wa Kipalestina

-Ili kufikia ajenda ya maendeleo SDG vijana wataka kujumuishwa na kuwa na sauti

-Katika makala leo tunaendelea tamko la haki za binadamu na  tuko Ethiopia kuangalia haki ya kumiliki mali

-Na katika kujifunza kiswahili Onni Sigalla anafafanua maana ya neno "ASILANI"

 

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
11'47"