UNISDR yasema tsunami inaleta mateso kwa binadamu na hasara kwa uchumi
Pakua
Hii leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu tsunami, msisitizo ukiwa ni hasara za kiuchumi, Umoja wa Mataifa unasema idadi ya vifo na hasara za kiuchumi zitokanazo na matukio ya tsuanami kwa nchi zinazopakana na bahari ya India na Pasifiki zimeongezeka katika kipindi cha miongo miwili iliyopita.
Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
1'54"