13 Agosti 2018
Pakua
Hii leo katika jarida la Umoja wa Mataifa Patrick Newman anakuletea:
- Mradi wa FAO uliowekeza maelfu ya dola huko Kenya waleta nuru kwa kaya za wafugaji; kila dola moja yazaa dola 3.5
- Huko Madagascar, vijana waliokuwa kwenye magenge ya uhalifu sasa wapatiwa stadi na vipato ni dhahiri.
- Kueleka kummbukizi ya miaka 15 ya shambulio la bomu kwenye ofisi za Umoja wa Mataifa huko Iraq, manusura afunguka alivyonusurika.
- Makala leo tunabisha hodi kwa warendile nchini Kenya, athari za mabadiliko ya tabianchi ni dhahiri shahiri.
- Mashinani tunakwenda DRC wanawake wasihi Umoja wa Mataifa usaidie ili washiriki ipasavyo kwenye mchakato wa uchaguzi baadaye mwaka huu
Audio Credit
Patrick Newman
Audio Duration
12'21"