Wenye bahati Yemen hula mlo mmoja kwa siku- OCHA
Pakua
Nchini Yemen hali ya kibinadamu hususan upatikanaji wa chakula inazidi kuwa ya shida kila uchao kwa wananchi ambapo Umoja wa Mataifa unasema wale wenye bahati angalau wanaweza kula mlo mmoja kwa siku, ilhali idadi kubwa wanakula mara chache kwa wiki.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
1'26"