Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wenye bahati Yemen hula mlo mmoja kwa siku- OCHA

Wenye bahati Yemen hula mlo mmoja kwa siku- OCHA

Pakua

Nchini Yemen hali ya kibinadamu hususan upatikanaji wa chakula inazidi kuwa ya shida kila uchao kwa wananchi ambapo Umoja wa Mataifa unasema wale wenye bahati angalau wanaweza kula mlo mmoja kwa siku, ilhali idadi kubwa wanakula mara chache kwa wiki.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
1'26"
Photo Credit
UNICEF/Abdoo Al-Karim