UNHCR yaongeza msaada, huku maelfu wakifungasha virago Nicaragua
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, leo limetoa wito wa mshikamano wa kimataifa na msaada kwa ajili ya Costa Rica na nchi zingine zinazo wahifadhi wakimbizi na waoomba hifadhi kutoka Nicaragua, wakati maelfu wakifungasha virago kukimbia shinikizo la kisiasa, machafuko na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini humo.
Audio Credit
Patrick Newman/ Flora Nducha
Audio Duration
1'44"