Skip to main content

Chuja:

waomba hifadhi

Nchini Ubelgiji, makao makuu ya Muungano wa Ulaya, Brussels.
Picha:Carmen Cuesta Roca

Programu ya rafiki imenipa ujasiri niliohitaji kuanza maisha mapya Ubelgiji:Mkimbizi Marie-Reine

Kutana na mkimbizi Marie-Reine kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, ambaye sasa amepata hifadhi na anaishi Namur nchini Ubeligiji. Alipowasili hakujua yeyote na wala wapi pa kuanzia ili kuweza kujikimu katika nchi ya tatu ugenini, lakini kupitia program ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR ijulikanayo kama “Rafiki” ambayo ni ya muongozo wa kukuza stadi na ujuzi ili kuwasaidia wakimbizi na waomba hifadhi, Marie-Reine amefungua ukurasa mpya wa maisha yake.

Sauti
2'23"