UNHCR yaongeza msaada kwa wakimbizi na familia zilizotawanywa Kaskazini mwa Ethiopia
Shirika la Umoja wa Mataifan la kuhudumia wakimbizi UNHCR, linaongeza msaada kwa raia walioathirika na machafuko kwenye majimbo ya Kaskazini mwa Ethiopia ya Tigray, Afar na Amhara.