Kenya sitisheni kuwafurusha wakazi wa Kibera si haki:UN
Pakua
Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamelaani hatua ya serikali ya Kenya ya kuwafurusha wakazi wa mitaa ya mabanda ya Kibera mjini Nairobi na kuitaka serikali kusitisha mara moja zoezi hilo hadi pale hatua za kisheria zitakapokamilika.
Audio Credit
Siraj Kalyango/ Flora Nducha
Audio Duration
2'15"